Invy

Invy we are selling the Best mihogo with kachumbari and amazing chachandu and other bites, food and juice

Hello Hello batana family.Njooni muone ukweli wa batana na jinsi inafanya kaza haraka.  Naomba niwaletee progress ya nyw...
05/12/2024

Hello Hello batana family.
Njooni muone ukweli wa batana na jinsi inafanya kaza haraka.
Naomba niwaletee progress ya nywele za mteja wangu ambae

-Nywele zake ziligoma kabisa kuota muda wote anavaa vitambaa au wig.
-Nilimpa offer ya batana kwa mashart kuwa lazima -Aache kuvaa wig na kufunga kitambaa muda wote kichwa kiwe wazi.
-Kila siku asubui lazima apake mafuta yetu ya batana.

Now see the charges ndani ya miezi miwili.

Wenye nywele ambazo hazioti zinaota
Wenye nywele chache zinajaa
Wenye nywele zinazokatika hazikatiki

Nywele inakuwa nzuri sana.
Ata mama yangu mzazi alinipigia kuniambia naomba Yale mafuta nywele zangu hazikatiki tena.
Yanapatikana kwa ujazo ufuatao
60mls kwa 15,000
120mls kwa 25,000
250mls kwa 35,000

Mawakala wetu wapo
Dodoma +255745787949
Arusha 0763724906 .mmasi
Moshi 0787139811

Batana is real
Batana is everywhere
#
Hamna nywele fupi nywele ni matunzo!!!!
Karibuni woooteeee

Batana iko Batana inakuza nywele k**a sijui niniBatana ni kiboko yani imeniweza. Now tunabanaJust imagine ukiwa na nywel...
30/10/2024

Batana iko
Batana inakuza nywele k**a sijui nini
Batana ni kiboko yani imeniweza. Now tunabana
Just imagine ukiwa na nywele nyingi natural alafu zimejaa
Alafu sasa Ata ukifanya rough dred zinaka k**a za shombeshombe

This is number one oil for hair growth. Yani apa nywele lazima ikushukuru.
K**a zangu apa zimenishukuru kwa kichaga kabisa.

EEKA TE MBE NGACHIO NNU. CHAA NGABARAMAKA NNU TE

Aya sasa wewe jaribu uone k**a hazijakuambia Mahi Dia iti isi inafu.

Yani nywele inajaa alafu inakuwa nzuriiiiiii

Aya Aya kwa wanaohitaji
Arusha .mmasi kwa number 0763724906
Moshi +255 787 139 811
Dodoma +255 738 481 076

Na mwanza pamoja na mikoa yote niko mie top manyota mama ya batana unanipata kwa number 0718822851

We are batanaring
Batana is everywhere
Batanahair ndio Habari sasaivi.

Leo nimepigiwa sim na mteja wangu (mwanaume) alikuwa ana upara anatamani nywele ziote. At first nilimwambia akipaka awe ...
05/10/2024

Leo nimepigiwa sim na mteja wangu (mwanaume) alikuwa ana upara anatamani nywele ziote.
At first nilimwambia akipaka awe ana massage akafanya then hakuona matokeo akaacha
Akaniambia last two weeks yeye alikuwa anapaka usiku tu then hafanyi massage and he see wonders and now kaomba chupa mbili.

Batana caught me up nikasahau Nina Aya mafuta mazuri na yana mchanganyiko wa mimea na mafuta karibu 10.

Changamoto wengi hawayaelewi harufu na siwezi ikata mana nimakataa kutumia chemicals kwenye mafuta yangu.

Karibuni msisahaau na haya yapo rosemary and Fenugreek hair oil.

60ml kwa 15,000
100mls kwa 20,000
120 mls kwa 25,000

Tuna Lipa number ya tigo.  K**a uonavyo karibu sana.
04/10/2024

Tuna Lipa number ya tigo. K**a uonavyo karibu sana.

Aya msijesema sijawaambia. The eyes can see. It's very Very true batana ni kiboko. And nywele yangu hii apa inabana now ...
02/10/2024

Aya msijesema sijawaambia. The eyes can see. It's very Very true batana ni kiboko. And nywele yangu hii apa inabana now na sio kwamba siwezi napenda puff Liwe likubwa. Aya sasa ya kuambiwa changa na yako.

Batana inafanya nywele kuota haraka sana
Inafanya nywele kuwa nyingi sana
Inazuia nywele kukatika
Inazuia muwasho kwenye ngozi

Inapatikana kwa ujazo wa aina 3

60mls kwa 15,000
120mls kwa 25,000
250mls kwa 35,000

Moshi na arusha
Dodoma

Mwanza na mikoani tunatuma
Karibu tunapatikana kwenye number +255718822851

Ngoja niwaambie sasa siri ya batana. 1.Nywele haikati2. Nywele inarefuka haraka3. Nywele inakuwa haiwashi4. Nywele inaja...
23/09/2024

Ngoja niwaambie sasa siri ya batana.

1.Nywele haikati

2. Nywele inarefuka haraka

3. Nywele inakuwa haiwashi

4. Nywele inajaa na kuwa nyingiii.

5. Ngozi ya kichwa inakuwa Safi muda wote.

Unapaka mara mbili adi Tatu kwa week kwenye ngozi na kwenye nywele adi kwenye ncha.
Kwa wenye dawa ni vizuri ukapaka ukitoka kuosha kabla ya kuweka rollers na kuingia kwenye dryer.
Kwa wenye natural hair ni vizuri kupaka wakati nywele Ina maji.
Kabla ya kusuka hakikisha nywele zako zina mafuta mengi ya kutosha.
K**a umesuka utaendelea kupaka kwenye ngozi mara moja au mbili kwa week

Hamna nywele fupi wala nywele yangu haiku ndefu. Nywele ni matunzo.

Tunapatikana mwanza mikoani tunatuma

Dodoma tuna wakala wetu.
Moshi na arusha

#

Customer feedback.  Batana ni nzuri sana mno. Ijaribu kwamwe hutajutiaWe are batanaring
12/09/2024

Customer feedback.
Batana ni nzuri sana mno.
Ijaribu kwamwe hutajutia

We are batanaring

Hello batana family.  Nawaletea progress ya nywele yangu binafsi. Nilinyoa tarehe 26 December 2023. Now Ninaenda mwezi w...
12/09/2024

Hello batana family.

Nawaletea progress ya nywele yangu binafsi. Nilinyoa tarehe 26 December 2023. Now Ninaenda mwezi wa tisa but nywele imejaa imekuwa ndefu na nyingi sana.
No heat
Nasuka protective style
Nimeweka natural color.
Nafanya treatment
Napaka mafuta ya batana mara Tatu kwa week

Tunapatikana mwanza
Dodoma wakala wetu
Moshi na Arusha

Address

Mwanza

Telephone

+255718822851

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Invy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Restaurant

Send a message to Invy:

Share

Category