Maakulat Foods

Maakulat Foods Food catering services and fast food restaurant
(Chips na fried chicken)

Je unasumbuliwa na sunburn, chunusi za usoni, mgongoni, mabegani, kifuani, ngozi imepata weusi wa tofauti na rangi ya ng...
09/02/2026

Je unasumbuliwa na sunburn, chunusi za usoni, mgongoni, mabegani, kifuani, ngozi imepata weusi wa tofauti na rangi ya ngozi yako?
Suluhisho hili hapa👉🏽👉🏽. Tumia GOLDEN SKIN cream by MONTANA ikung'arishe upendeze. SH.20,000/ Kopo dogo unakaa nayo hadi mwezi mzima na zaidi, ujazo umeongezwa.

Tupo Mwanza na Tanga, mikoa jirani tunatuma pia. Tupigie 0785572567 au 0762885828

Radiance Whitening serum unaweza kutumia direct kwenye ngozi kila jioni kabla ya kulala.Unapaka kwenye ngozi safiii baad...
09/02/2026

Radiance Whitening serum unaweza kutumia direct kwenye ngozi kila jioni kabla ya kulala.

Unapaka kwenye ngozi safiii baada ya kunawia face wash au sabuni, ama wengi hua tunamix kwenye lotion kisha unapaka🥰.

Mwanza na Tanga zipo tunafanya delivery. Tupigie 0785572567

Serum yetu hii anatumia mtu ambae amepoteza nuru au mng’ao kutokana na sababu mbalimbali k**a jua kali au weusi uliosaba...
09/02/2026

Serum yetu hii anatumia mtu ambae amepoteza nuru au mng’ao kutokana na sababu mbalimbali k**a jua kali au weusi uliosababishwa na allergy au tuuu ngozi kufubaa na kupoteza mng’ao hii inakufaa
Pia unaweza kuchanganya na lotion au mafuta unayotumia ni nzuri sanaaa. Ina shauriwa kutumia nusu tu ama yote kwa matokeo ya haraka zaidi
Ina ujazo wa mls 30
Bei yake ni 15,000
Tupo Mwanza na Tanga, mikoa jirani tunatuma pia. Tupigie 0785572567

KILA ASUBUHI TUMIA HII OIL KILA BAADA YA KUOSHA USO NA MWILI VIZUUURIHaya mafuta ni suncreen yanakukinga na juaYanasaidi...
09/02/2026

KILA ASUBUHI TUMIA HII OIL KILA BAADA YA KUOSHA USO NA MWILI VIZUUURI
Haya mafuta ni suncreen yanakukinga na jua

Yanasaidia kufifisha kabisa michirizi

Yanafanya healing kwenye ngozi yaani yanarudisha ngozi katika Afya na mg’ao k**a glass👌
Yana vitamin A,C na E

Yanaondoa makunyanzi na mikunjo usoni

Pia yanasaidia sana kumaliza tatizo la madoa uso na mwili

Yanatumiwa na jinsi zote
Tupo Mwanza na Tanga, mikoa jirani tunatuma pia
Tupigie 0785572567

Sabuni ya kahawa. Kiboko ya ngozi sugu kutakata, chunusi, vipele, harara, vyote kwishaaaa. Sh.5,000/.  Mwanza na Tanga z...
09/02/2026

Sabuni ya kahawa. Kiboko ya ngozi sugu kutakata, chunusi, vipele, harara, vyote kwishaaaa. Sh.5,000/.
Mwanza na Tanga zipo tunafanya delivery. Tupigie 0785572567

Sabuni ya mcheleNi best kwa ajili ya anti-aging, ina unga wa mchele na maziwa pamoja na viambata vingine. Inafaa kwa wen...
09/02/2026

Sabuni ya mchele
Ni best kwa ajili ya anti-aging, ina unga wa mchele na maziwa pamoja na viambata vingine.
Inafaa kwa wenye ngozi isiyo ya mafuta sana au kavu sana yaani normal skin.
Inasaidia kuondoa madoa na inang'arisha kiasili yaani haichubui kwa kuwa ni 100% naturally made.
Tupigie 0785572567 tupo Mwanza na Tanga. Mikoani tunatuma pia

Sabuni ya manjano papaya na mawese..Hii kwa wale wenye ngozi kavu inawafaa, ngozi iliyoharibika kwa vipodozi vikali, kuu...
09/02/2026

Sabuni ya manjano papaya na mawese..
Hii kwa wale wenye ngozi kavu inawafaa, ngozi iliyoharibika kwa vipodozi vikali, kuungua na jua, inabalance unyevu wa ngozi, na kuipa mng'ao wa asili. Sh.5,000/.
Mwanza na Tanga zipo tunafanya delivery. Tupigie 0785572567

Turmeric face wash hii kwa ajili ya ngozi aina zote.  Inaondoa uchafu wote usoni, ina povu la kutosha na iko very gentle...
09/02/2026

Turmeric face wash hii kwa ajili ya ngozi aina zote.
Inaondoa uchafu wote usoni, ina povu la kutosha na iko very gentle kwenye ngozi ya uso. Sh.10,000/ .
Mwanza na Tanga zipo tunafanya delivery. Tupigie 0785572567

Good day my neighbours🤗 Leo unatumia bidhaa gani kutoka Montana? Tupigie 0785572567 tukupatie. Tupo Mwanza na Tanga, mik...
09/02/2026

Good day my neighbours🤗
Leo unatumia bidhaa gani kutoka Montana? Tupigie 0785572567 tukupatie.
Tupo Mwanza na Tanga, mikoa jirani tunatuma pia.

02/02/2026

KWANINI UTUMIE BIDHAA ZETU??

1. Mteja anapata huduma moja kwa moja kutoka kwa mshauri wa ngozi muda wowote Bure kabla ya kuuziwa bidhaa
2. Mteja anasema anahitaji kua vipi au kufikia malengo gani na tunampatia bidhaa saahihi kwaajili ya ngozi ama nywele zake
3. Mteja anauziwa bidhaa kutegemea na bajeti yake🥰
Pia bidhaa zetu ni Bora na Salama yaaaani tupo sokoni muda mrefu hivyo tuna experiance kubwa na uaminifu wa hali ya juu
Uje tukushauri nini utumie na bidhaa zetu ni 100% UHAKIKA
Bei sh.20,000/ tupigie 0785572567
Tupo Mwanza na Tanga

Address

ISAMILO B
Mwanza
+255

Opening Hours

Monday 07:00 - 18:00
Tuesday 07:00 - 18:00
Wednesday 07:00 - 18:00
Thursday 07:00 - 18:00
Friday 07:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Maakulat Foods posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category