DAGAA DAGAA

DAGAA DAGAA tHE oNLY and ONe pLACE ThAt yoU& yoUR PaRtNer can watch FootBAll with Full of Soft And Hard DrInKs/Nyama Choma/Good MUsic from Djs MAx and Johniee aka The PhD

28/08/2014

WADAU wote wa page hii ya DAGAA DAGAA tunawatangazia kua tunaifunga rasmi page hii na badala yake tutakua na page nyingine itakayokujia hivi karibuni tafadhali sana usikose kuweka LIKE yako na tuendeleze kupeana habar zaid za DAGAA DAGAA bila kusahau kesho ni LADIES NIGHT na offer za kumwaga......

28/07/2014

Ni shida nyingine tena mjini katika kuikaribisha siku kuu ya EID EL FITR...... usingoje kusimuliwa ilikuaje kiwanja ni sanaa mjengo ni DAGAA DAGAA suprises za kufa mtu...hapa dj stan hapa dj abel...katikati the heavy weight dj Johnnie himself.....ni shidaaaaaa

03/04/2014

Sasa ni 226 mwendo mdundo ndani ya kiota cha maraha yaani DAGAA DAGAA sio mchezo, usikose surprise KESHO!!

06/03/2014

211 LIKES, ahsanteni sana wadau wote wa DAGAA DAGAA bado tunahitaji nyingine nyingi lakini hiyo haitoshi k**a hutokuja na kujiunga nasi usikose week end hii hapa mtu mzima Dj Johnie k**a kawa k**a dawa......ama niiiniii sogea sogea DAGAA DAGAA

01/03/2014

Baada ya Jana kukinukisha mbaya, leo tena ni muendelezo wa zile bata za week end na mwisho wa mwezi, usikose DAGAA DAGAA mtu wangu wa nguvu ama niiniiii????

28/02/2014

Week end nyingine hii hapa na huu si ndio mwisho wa mwezi?? sasa kuna nini tena hapo bata za kufa mtu, tunakukaribisha ndani ya kiota cha maraha yaani DAGAA DAGAA, usikose mtu wangu wa nguvu... Dj Abel k**a kawa... wazee wa wallet vimbaga mbaya ama nini????

26/02/2014

Yaani ni mwendo mdundo sasa ni 206 LIKES ahsanteni sana endelea kupata burudani ndani ya DAGAA DAGAA, usisite kuwaambia na wengine, maeneo ni yale yale Sinza Legho zamani uwanja wa SANAA sasa ni DAGAA DAGAA....

17/02/2014

Sasa Ni 161 tunaelekea tunakohitaji kufikia,lengo n kuleta burudani mchanganyiko, Dj Johnie is back to the 1&2 SOON!!!
Dj Stan,Dj Abel,k**a dawa k**a kawa

17/02/2014

Ahsanteni Sana kutufanya kufikia LIKES 156 bado tunazihitaji zaid karibuni sana alhamis hii na Kmondo Sound Band

20/12/2013

Mambo wadau wote wa DAGAA DAGAA tumetimiza likes 89 na bado sana tunahitaji nyingine zaidi, usikose kuja DAGAA DAGAA katika msimu huu wa siku kuu za XMASS na Mwaka Mpya zawadi kibao na mixing za nguvu Dj Johnie Dj Abel

14/12/2013

Usikosea LEO DAGAA DAGAA full shangwe na Birthday Party ya Dj Johnie k**a kawa k**a dawa ama niniiii???

13/12/2013

Mambo DAGAA DAGAA fans wote kesho ni birthday ya mtu mzima DJ JOHNIE dondosha neon moja kwake kisha ukiweza njoo mjengoni DAGAA DAGAA ujumuike nae

Address

Kinondoni

Opening Hours

Monday 18:00 - 04:30
Tuesday 18:00 - 04:30
Wednesday 18:00 - 04:30
Thursday 18:00 - 04:30
Friday 18:00 - 04:30
Saturday 18:00 - 04:30
Sunday 18:00 - 04:30

Telephone

+255758185190

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DAGAA DAGAA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category