Moshi Agrovet

Moshi Agrovet Tunauza CFP,vifaa vya kuku, chanjo,dawa na vitamini za kuku.

Tuwekane Sawa kuhusu CFP...Habari yako ndugu, karibu katika makala hii fupi kuhusu namna ambayo CFP itakurahisishia ufug...
03/06/2026

Tuwekane Sawa kuhusu CFP...

Habari yako ndugu, karibu katika makala hii fupi kuhusu namna ambayo CFP itakurahisishia ufugaji wa kuku wako chotara

Tuanzie hapa, Iko hivi unapoandaa chakula cha kuku kunakuwa na ingredients mbali mbali utakazotumia k**a mahindi, mashudu ya alizeti,dcp etc

Ingredients hizi zinakuwa kutoka kwenye makundi tofauti kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya kuku ikiwemo ingredients zinazokupa protini, madini etc

Sasa hizi ingredients ukishakuwa nazo katika formula yako iliyokamilika ni lazima uzichanganye

Hapa huwa tunapata makundi mawili macro ingredients na micro ingredients

Macro ingredients ni zile ingredients kubwa kubwa au ingredients ambazo zina asilimia kubwa katika formula

Micro ingredients ni zile ingredients ndogo ndogo hizi zinakuwa zinatumika kidogo lakini ni muhimu sana na zinahitaji uwiano sahihi ili chakula kikupe matokeo

Changamoto ni nini?

Moja wafugaji wengi wa chotara wakianza kuchanganya chakula kuku wanaanza kuumwa mara kwa mara sababu ni kuwa hawana formula sahihi na hawana uwiano sahihi wa micro ingredients k**a zinavyohitajika na kuku

Mbili wengi hawazifahamu hizo micro ingredients

Tatu kuzichanganya micro ingredients zinahitaji mashine ya kuchanganyia kumbuka nimekwambia micro ingredients zinatumika kidogo mf unakuta gram 200 inatumika kwenye tani moja au gram 20 kwenye kilo 100

Je mfugaji ambaye hana mashine/anatumia koleo ataichanganyaje gram 20 kwenye kilo 100?

Sisi Moshi Agrovet tumefanya majaribio kuanzia December 2023 sasa tumekuja na suluhisho la hizo changamoto zote hapo juu

Iwe huna formula sahihi, uwe huzijui micro ingredients au huna mashine au ulipo micro ingredients hazipatikani kirahisi suluhisho lako ni CFP

CFP kirefu chake ni chotara feed pack...

Feed pack ni muunganiko wa virutubisho vinavyotumika kwenye chakula cha kuku katika formula ambayo imehakikishwa kuwa inafanya kazi

Hii ni chotara feed pack, Maana yake ni muunganiko wa virutubisho kwa ajili ya chotara ambavyo hata Sisi wenyewe tumevitumia katika formula husika vikatupa matokeo mazuri sana

Ukiwa na CFP unahitaji pumba za mahindi, mashudu ya alizeti,soya kavu au dagaa na mahindi kupata chakula kitakachokupa matokeo kulingana na formula husika

CFP ukiunganisha na hiyo formula matokeo kwa kuku chotara yamehakikishwa na uchanganyaji wa chakula umerahisishwa

Ukiwa na CFP wewe pambana kuhusu soko la kuuza kuku wako, Ulishaji tumeshafunga faili lake

Bei za CFP hapa Dodoma

1.Starter/vifaranga [kuanzia siku 1 na kuendelea]

Kilo 5 ni 18,000
Kilo 25 ni 80,000

2.Grower/kuku wanaokua [Kuanzia siku 25 na kuendelea]

Kilo 5 ni 14,000
Kilo 25 ni 60,000

3.Kuku wanaotaga[Baada ya kuona yai]
Kilo 5 ni 14,000
Kilo 25 ni 60,000

๐Š๐ข๐ฅ๐จ ๐Ÿ“ ๐ข๐ง๐š๐ญ๐จ๐ฌ๐ก๐š ๐ค๐ฎ๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐œ๐ก๐š๐ค๐ฎ๐ฅ๐š ๐ค๐ข๐ฅ๐จ ๐Ÿ๐ŸŽ๐ŸŽ

๐Š๐ข๐ฅ๐จ ๐Ÿ๐Ÿ“ ๐ข๐ง๐š๐ญ๐จ๐ฌ๐ก๐š ๐ค๐ฎ๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐œ๐ก๐š๐ค๐ฎ๐ฅ๐š ๐ค๐ข๐ฅ๐จ ๐Ÿ“๐ŸŽ๐ŸŽ

Kuagiza CFP tupigie kwenye namba hii 0752912132

CFP
Ulishaji wa uhakika

Thermometer sio kitu cha kukosa kabisa unapolea vifaranga wako Ni kifaa kidogo ila kina msaada mkubwa Urahisi wa kufuati...
03/06/2026

Thermometer sio kitu cha kukosa kabisa unapolea vifaranga wako

Ni kifaa kidogo ila kina msaada mkubwa

Urahisi wa kufuatilia joto unalowapa vifaranga

Kupunguza gharama za joto zisizo za lazima unapolea vifaranga โœ…

Thermometer k**a hiyo bei yake ni 20,000

Tupigie 0752 912132 kuagiza thermometer ๐ŸŒก๏ธ

Tunapatikana Dodoma Majengo Sokoni ๐Ÿ“Œ

Mzani k**a huu kwenye picha ni 20,000Unapima gram 100 mpaka kilo 50 Ili tuweze kukuhudumia kwa haraka tafadhali tupigie ...
03/06/2026

Mzani k**a huu kwenye picha ni 20,000

Unapima gram 100 mpaka kilo 50

Ili tuweze kukuhudumia kwa haraka tafadhali tupigie kwenye hizi namba

0752912132 au 0718 192 378

Zinakuwa hewani muda tumefungua dukani

Jumatatu -Ijumaa kuanzia saa 1 na nusu asubuhi mpaka saa 1 kamili jioni

Jumamosi tunafungua saa 3 na nusu asubuhi mpaka saa 1 kamili jioni

Tunapatikana Dodoma Majengo Sokoni

Tuna wakala wa CFP Dar es salaam, Iringa na Arusha

Karibu kwa oda

Vifaranga wetu wamefikisha siku 7 leo kwa kweli baridi kali sana uzuri ni kuwa kadiri vifaranga wanavyokua kiwango cha j...
03/06/2026

Vifaranga wetu wamefikisha siku 7 leo kwa kweli baridi kali sana uzuri ni kuwa kadiri vifaranga wanavyokua kiwango cha joto wanachohitaji kinapungua.

Chakula Cha starter tumewachanganyia kwa kutumia CFP ya vifaranga k**a ifuatavyo

Mahindi kilo 52 [bei @ kilo -900]
Soya kavu kilo 32 [bei @ kilo -2000]
Mashudu ya alizeti kilo 9 [bei -900]
Mafuta ya mboga kilo 2 [bei -5650]
CFP ya vifaranga kilo 5 [bei 3600]

Jumla kilo 100, gharama yake ni 148,200 sawa na mfuko wa starter kilo 50 ni 74,100

Hizi ni gharama za hapa Dodoma, kutegemeana na mahali ulipo gharama inaweza kubadilika kulingana na kubadilika kwa bei ya bidhaa hasa soya kavu.

Kitu kingine kinachoamua uchanganye au usichanganye ni gharama za usafiri kuja ulipo kwasababu soya kavu unaweza kuagiza kutoka dukani kwetu tukakutumia kuja kwako

Bei ya soya kavu kilo 1 ni 2000

Tupigie 0752 912132 au 0718 192 378

Tunapatikana Dodoma Majengo Sokoni

Hawa ni vifaranga wa Tanbro 700 tuliwapokea tarehe 27 May 2026Tumeanza kuwachanganyia chakula cha starter kilo 700 kwa k...
03/06/2026

Hawa ni vifaranga wa Tanbro 700 tuliwapokea tarehe 27 May 2026

Tumeanza kuwachanganyia chakula cha starter kilo 700 kwa kutumia CFP ya vifaranga, watakula chakula hiki mpaka siku 25. Tunatumia formula ya vifaranga yenye mafuta

Baada ya hapo tutabadilisha formula na kuhamia kwenye formula ya grower

Chanzo Cha joto tunatumia gas brooder, hii ni heater ya gas na inafaa ukiwa na vifaranga wengi k**a una vifaranga wachache tumia vyungu / majiko ya mkaa au bulb

Chakula Cha Vifaranga lazima kiwe na punje ndogo ili waweze kukila

Makaratasi/magazeti huwa tunayotoa siku 3 au 4

Huu ni msimu wa baridi Kali : Saizi ya bruda yako siku za mwanzoni iwe ndogo kurahisisha kuwapa vifaranga joto kwa kiwango wanachohitaji halafu kila baada ya siku 3 au 4 unaiongeza.

Ni muhimu ukiwa na thermometer inasaidia kufuatilia joto kwenye bruda yako Kisha ukilinganisha na Kiwango wanachohitaji vifaranga kulingana na umri wao.

Pima uzito wa vifaranga kufuatilia ukuaji wao,sisi hapa tunawapima kila siku vifaranga wachache tu 15 mpaka 20

Vyombo vya maji na chakula kwenye picha hivyo tumeanza navyo ila tutaenda tukiviongeza idadi kadri tunavyotanua hiyo bruda na baada ya wiki 2 tutabadilisha tutatoa vyombo vya chakula [hizo long feeders] na kuweka feeder za kilo 6 na vyombo vya maji tutatoa hivyo na kuweka vya Lita 10

Kwa Arusha wakala wa CFP yupo Mianzini mwisho wa lami barabara ya kwenda Iliboru namba zake ๐Ÿฌ๐Ÿณ๐Ÿต๐Ÿฌ ๐Ÿณ๐Ÿต๐Ÿต ๐Ÿณ๐Ÿฒ๐Ÿฒ

Hayo mafuta hayatafanya mchanganyiko kuloa na kuvunda๐Ÿค”???๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡Kinavundaje?Chakula chetu ni hiki hapa tumeweka mafuta kilo ...
03/06/2026

Hayo mafuta hayatafanya mchanganyiko kuloa na kuvunda๐Ÿค”???

๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Kinavundaje?

Chakula chetu ni hiki hapa tumeweka mafuta kilo 2 kwenye kilo 100

Mafuta kutumika kwenye chakula cha kuku ni kawaida sio jambo jipya, inawezekana ulikuwa hujui ndio maana unashangaa au unakataa!

Mafuta sio maji kwamba ukiweka mafuta moisture inapanda hapana sio hivyo dhana ya chakula kuloa au kuvunda inafanya kazi k**a utaweka maji.

Kuna CFP ya vifaranga, kuku wanaokua na Wanaotaga

Bei za CFP hapa Dodoma

1.Starter/vifaranga [kuanzia siku 1 na kuendelea]

Kilo 5 ni 18,000
Kilo 25 ni 80,000

2.Grower/kuku wanaokua [Kuanzia siku 25 na kuendelea]

Kilo 5 ni 14,000
Kilo 25 ni 60,000

3.Kuku wanaotaga[Baada ya kuona yai]
Kilo 5 ni 14,000
Kilo 25 ni 60,000

๐Š๐ข๐ฅ๐จ ๐Ÿ“ ๐ข๐ง๐š๐ญ๐จ๐ฌ๐ก๐š ๐ค๐ฎ๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐œ๐ก๐š๐ค๐ฎ๐ฅ๐š ๐ค๐ข๐ฅ๐จ ๐Ÿ๐ŸŽ๐ŸŽ

๐Š๐ข๐ฅ๐จ ๐Ÿ๐Ÿ“ ๐ข๐ง๐š๐ญ๐จ๐ฌ๐ก๐š ๐ค๐ฎ๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐œ๐ก๐š๐ค๐ฎ๐ฅ๐š ๐ค๐ข๐ฅ๐จ ๐Ÿ“๐ŸŽ๐ŸŽ

Mawasiliano 0752912132

Moshi Agrovet tunapatikana Dodoma Majengo Sokoni

Mdau anauliza CFP  ndio nini?Majibu๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐ŸฝCFP ni virutubisho vinavyotumika kuchanganya chakula cha kuku chotara au ki...
03/06/2026

Mdau anauliza CFP ndio nini?

Majibu๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ

CFP ni virutubisho vinavyotumika kuchanganya chakula cha kuku chotara au kienyeji kuanzia siku 1 mpaka unapowauza au wanapoanza kutaga

Ukiwa na CFP unahitaji mahindi, soya kavu, mashudu ya alizeti na mafuta ya mboga kukamilisha chakula kamili Cha Vifaranga

K**a unataka kuchanganya chakula kilo 100 utaweka hivi ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ

Mahindi kilo 52
Soya kavu kilo 32
Mashudu ya alizeti kilo 9
Mafuta ya mboga kilo 2 [Lita 2.26]
CFP ya vifaranga kilo 5

Jumla kilo 100

Mawasiliano 0752 912132 au 0718 192 378

Location Dodoma Majengo Sokoni

Nini tofuti ya hizi formula 2Mahindi kilo52Soya kavu kilo 32Mashudu alizeti kilo9Mafuta ya mboga kilo 2CFP ya vifaranga ...
02/06/2026

Nini tofuti ya hizi formula 2

Mahindi kilo52
Soya kavu kilo 32
Mashudu alizeti kilo9
Mafuta ya mboga kilo 2
CFP ya vifaranga kilo 5

NA HII

Mahindi kilo 45
Soya kavu kilo10
Pumba za mahindi kilo25
Mashudu ya alizeti 15
CFP ya kuku wanao kuwa kilo5

๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ

1.Hii ni formula ya vifaranga kuanzia siku 1 mpaka siku 25 au zaidi ndio maana unaona inatumika CFP ya vifaranga

Mahindi kilo52
Soya kavu kilo 32
Mashudu alizeti kilo9
Mafuta ya mboga kilo 2
CFP ya vifaranga kilo 5

2.Halafu kuku wanapomaliza kula starter wanahamia kula grower, kwahiyo formula hii hapa ni kwa ajili ya kuku wanaokua

Mahindi kilo 45
Soya kavu kilo10
Pumba za mahindi kilo25
Mashudu ya alizeti 15
CFP ya kuku wanao kuwa kilo5

Inaanza kutumika kuanzia siku 25 na kuendelea, maana yake k**a una kuku wa siku 30 au 42 utatumia formula hii

CFP kwa hapa Dodoma zinapatikana Majengo Sokoni
Mawasiliano 0752 912132

Asante sana kwa usikivu wako kwenye hili suala ๐Ÿ™๐Ÿฟ

Najaribu kuwafuatilia kwa ukaribu sana  naumbo kuelewa hii formula ya chakula inatofautiana  kulingana na aina za kuku m...
02/06/2026

Najaribu kuwafuatilia kwa ukaribu sana naumbo kuelewa hii formula ya chakula inatofautiana kulingana na aina za kuku mf,sasso, Tanbro

๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Hapana formula ni zile zile hazitofautiani kulingana na aina ya kuku

Formula za vifaranga zipo mbili : ipo formula yenye mafuta na ambayo haina mafuta utachagua utumie ipi kati ya hizi

1.Formula ya vifaranga yenye mafuta
Mahindi kilo 52
Soya kavu kilo 32
Mashudu ya alizeti kilo 9
Mafuta ya mboga kilo 2
CFP ya vifaranga kilo 5

Jumla kilo 100

2.Formula ya vifaranga ambayo Haina mafuta
Mahindi kilo 52
Soya kavu kilo 25
Soya mafuta [full fat soya] kilo 12
Mashudu ya alizeti kilo 6
CFP ya vifaranga kilo 5

Jumla kilo 100

Unatumia kwa vifaranga wa chotara aina zote na kienyeji pia.

Kuagiza CFP tupigie 0752 912132
Tunapatikana Dodoma Majengo Sokoni

Tanbro wetu Wamefikisha siku 28 Leo, Hawa tumetumia formula ya vifaranga ambayo Haina mafuta Tumekuwa na mfululizo wa ku...
02/06/2026

Tanbro wetu Wamefikisha siku 28 Leo, Hawa tumetumia formula ya vifaranga ambayo Haina mafuta

Tumekuwa na mfululizo wa kukupa update kila wiki, unawakumbuka?

Wamemaliza starter jana asubuhi kwasasa wameanza kula grower tunatumia formula hii hapa ๐Ÿ‘‡

Mahindi kilo 45
Soya kavu kilo 10
Pumba za mahindi kilo 25
Mashudu ya alizeti kilo 15
CFP ya kuku wanaokua kilo 5

Jumla kilo 100

K**a unahitaji CFP kwa Arusha wasiliana na wakala wetu ๐ŸŽ๐Ÿ•๐Ÿ—๐ŸŽ ๐Ÿ•๐Ÿ—๐Ÿ— ๐Ÿ•๐Ÿ”๐Ÿ”

Address

Fatina/Majengo Soko Kuu Karibu Na CRDB
Dodoma

Opening Hours

Monday 07:00 - 19:00
Tuesday 07:00 - 19:00
Wednesday 07:00 - 19:00
Thursday 07:00 - 19:00
Friday 07:00 - 19:00
Saturday 07:00 - 19:00
Sunday 09:00 - 16:00

Telephone

+255659632332

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Moshi Agrovet posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Restaurant

Send a message to Moshi Agrovet:

Share