03/06/2026
Tuwekane Sawa kuhusu CFP...
Habari yako ndugu, karibu katika makala hii fupi kuhusu namna ambayo CFP itakurahisishia ufugaji wa kuku wako chotara
Tuanzie hapa, Iko hivi unapoandaa chakula cha kuku kunakuwa na ingredients mbali mbali utakazotumia k**a mahindi, mashudu ya alizeti,dcp etc
Ingredients hizi zinakuwa kutoka kwenye makundi tofauti kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya kuku ikiwemo ingredients zinazokupa protini, madini etc
Sasa hizi ingredients ukishakuwa nazo katika formula yako iliyokamilika ni lazima uzichanganye
Hapa huwa tunapata makundi mawili macro ingredients na micro ingredients
Macro ingredients ni zile ingredients kubwa kubwa au ingredients ambazo zina asilimia kubwa katika formula
Micro ingredients ni zile ingredients ndogo ndogo hizi zinakuwa zinatumika kidogo lakini ni muhimu sana na zinahitaji uwiano sahihi ili chakula kikupe matokeo
Changamoto ni nini?
Moja wafugaji wengi wa chotara wakianza kuchanganya chakula kuku wanaanza kuumwa mara kwa mara sababu ni kuwa hawana formula sahihi na hawana uwiano sahihi wa micro ingredients k**a zinavyohitajika na kuku
Mbili wengi hawazifahamu hizo micro ingredients
Tatu kuzichanganya micro ingredients zinahitaji mashine ya kuchanganyia kumbuka nimekwambia micro ingredients zinatumika kidogo mf unakuta gram 200 inatumika kwenye tani moja au gram 20 kwenye kilo 100
Je mfugaji ambaye hana mashine/anatumia koleo ataichanganyaje gram 20 kwenye kilo 100?
Sisi Moshi Agrovet tumefanya majaribio kuanzia December 2023 sasa tumekuja na suluhisho la hizo changamoto zote hapo juu
Iwe huna formula sahihi, uwe huzijui micro ingredients au huna mashine au ulipo micro ingredients hazipatikani kirahisi suluhisho lako ni CFP
CFP kirefu chake ni chotara feed pack...
Feed pack ni muunganiko wa virutubisho vinavyotumika kwenye chakula cha kuku katika formula ambayo imehakikishwa kuwa inafanya kazi
Hii ni chotara feed pack, Maana yake ni muunganiko wa virutubisho kwa ajili ya chotara ambavyo hata Sisi wenyewe tumevitumia katika formula husika vikatupa matokeo mazuri sana
Ukiwa na CFP unahitaji pumba za mahindi, mashudu ya alizeti,soya kavu au dagaa na mahindi kupata chakula kitakachokupa matokeo kulingana na formula husika
CFP ukiunganisha na hiyo formula matokeo kwa kuku chotara yamehakikishwa na uchanganyaji wa chakula umerahisishwa
Ukiwa na CFP wewe pambana kuhusu soko la kuuza kuku wako, Ulishaji tumeshafunga faili lake
Bei za CFP hapa Dodoma
1.Starter/vifaranga [kuanzia siku 1 na kuendelea]
Kilo 5 ni 18,000
Kilo 25 ni 80,000
2.Grower/kuku wanaokua [Kuanzia siku 25 na kuendelea]
Kilo 5 ni 14,000
Kilo 25 ni 60,000
3.Kuku wanaotaga[Baada ya kuona yai]
Kilo 5 ni 14,000
Kilo 25 ni 60,000
๐๐ข๐ฅ๐จ ๐ ๐ข๐ง๐๐ญ๐จ๐ฌ๐ก๐ ๐ค๐ฎ๐๐ก๐๐ง๐ ๐๐ง๐ฒ๐ ๐๐ก๐๐ค๐ฎ๐ฅ๐ ๐ค๐ข๐ฅ๐จ ๐๐๐
๐๐ข๐ฅ๐จ ๐๐ ๐ข๐ง๐๐ญ๐จ๐ฌ๐ก๐ ๐ค๐ฎ๐๐ก๐๐ง๐ ๐๐ง๐ฒ๐ ๐๐ก๐๐ค๐ฎ๐ฅ๐ ๐ค๐ข๐ฅ๐จ ๐๐๐
Kuagiza CFP tupigie kwenye namba hii 0752912132
CFP
Ulishaji wa uhakika