Mr Business Poultry Farm

Mr Business Poultry Farm Tajirika kupitia ufugaji wa kuku, kwa kujipatia elimu na ushauri bora wa namna ya kujipatia kipato...

Je? Wajua! ...Ubora wa kuku utokana na huduma sahihi, uangalizi bora, eneo bora na usahihi wa taarifa...fuga nasi kupata...
25/03/2025

Je? Wajua! ...
Ubora wa kuku utokana na huduma sahihi, uangalizi bora, eneo bora na usahihi wa taarifa...fuga nasi kupata kilicho ..

HUDUMA TUNAZOTOA:
👉 Vifaranga vya Mayai "Layers chicks"
👉 Vifaranga vya Nyama "Broiler Chicks"
👉 Mabanda ya kisasa ya kufugia kuku "Layers &Broiler cage"
👉Mashine za kuangulishia Vifaranga "Automatic Poultry Incubator"
👉Huduma za kitabibu na ushauri "Veterinary technical support"
👉Huduma za usimamizi na ushauri wa miradi mikubwa na midogo "Farm Management &Consultation"

Wasiliana nasi kupitia;
+255 714151842
+255 682218768

TAMBUA UGONJWA WA GUMBOROUgonjwa huu huathiri kuku wadogo wenye umri kati ya wiki mbili hadi tatuNa Vilevile ugonjwa huu...
02/03/2025

TAMBUA UGONJWA WA GUMBORO

Ugonjwa huu huathiri kuku wadogo wenye umri kati ya wiki mbili hadi tatu

Na Vilevile ugonjwa huu husababishwa na kirusi kiitwacho "BIRNAVIRUS"

Virusi uingia kwa kuku au bandani kwa njia tofauti tofauti k**a..... WAHUDUMIAJI KUTOKUWA NA UTARARIBU SAHIHI, UPEPO UNAOINGIA MOJA KWA MOJA NDANI YA BANDA, KUKU WA KIENYEJI, BATA na NDEGE WA PORINI wanaopatikana eneo la karibu na banda au wanaoingia ndani ya banda

Husambazwa kati ya kuku na kuku wengine kwa njia ya kinyesi na uteute, wowote unaotoka mdomoni, puani au machoni..

Kirusi kinaweza kuishi kwa muda mrefu bandani k**a usafi kati ya batch moja kwenda nyingine autofanyika vyema na dawa sahihi..

DALILI

Kuku mgonjwa ulegeza mabawa na kushuka chini.. "KUVAA KOTI"

Kukosa nguvu na kusinzia akiwa amesimama au amekaa...

Manyoya kuvurugika na kusimama..

Vifo vingi ndani ya muda mfupi..

Kuharisha kinyesi cheupe...

Kuvuja kwa damu kwenye misuli ya kifua na mapaja...

Kuvimba kwa ini na nyongo kujaa...

TIBA

Wape kuku chanjo kwa wakati na chanjo sahihi...

Hakuna tiba ya moja kwa moja kwa kuku...

Zingatia taratibu na maelekezo ya wataalamu kuhusiana na chanjo

Zingatia maelekezo ya wataalamu kuhusiana na usafi pamoja afya ya kuku...

USHAURI

Usidharau dalili yeyote kwa kuku na kuona ni mazoea ya mara kwa mara....

KARIBU TUKUHUDUMIE
👉🏻Vifaranga vya Layers na Broiler
👉🏻Vyakula vya kuku wa nyama na mayai kwa bei za jumla
👉🏻Vifaa vya kuku k**a incubator, cages, na vingine vingi..
👉🏻Ushauri na maelekezo ya msingi katika kufuga kuku...

HUDUMA TUNAZOTOA:
1. Vifaranga vya Broiler &Layers
2. Vifaa vya kuku
3. Cage za kuku wa nyama na mayai
4. Mashine za kutotoleshea Vifaranga
5. Huduma ya ushauri na usimamizi wa miradi

Mawasiliano tupigie;
Phone; +255 714 151842
WhatsApp; +255 767922993

FAHAMU KWA UCHACHE KUHUSU UGONJWA WA COCCIDIOSIS...COCCIDIOSISI NINININi ugonjwa wa kuhara damu unaosababishwa na vijidu...
02/03/2025

FAHAMU KWA UCHACHE KUHUSU UGONJWA WA COCCIDIOSIS...

COCCIDIOSISI NININI
Ni ugonjwa wa kuhara damu unaosababishwa na vijidudu wajulikanao kwa jina la "PROTOZOA" wadudu hawa hushambulia sehemu mbalimbali za utumbo wa kuku.

MAZINGIRA YANAYOSABABISHA COCCIDIOSIS

🐓Unyevunyevu kwenye matandazo/ maranda (Litter Material)

🐓Kutobadili matandazo/ maranda yaliyotumika kwa muda mrefu usababisha magonjwa....

🐓Kuhamishia vifaranga sehemu tofauti na waliyokuwa wanakaa na kuwapeleka walipokuwa wanakaa kuku wakubwa bila ya kufanya usafi na kupiga dawa za kuua vijidudu "Formalin"...

DALILI ZAKE
👉Kuharisha; Kinyesi huanza kuwa laini, pili hubadilika rangi kuwa kijivu, baadae mchanganyiko wa damu na kuonekana k**a kahawia, udongo au brauni..

👉Manyoya yasiyo na mpangilio na yaliyosinyaa, kuku hapendezi na hukunja mabawa k**a amevaa koti.

👉Kuku kupauka (Paleness)
hususani kwenye vilemba (Comb, wattle) na miguu kutokana na kukosa damu.

👉Kukua polepole (Poor Growth)
👉Kukosa hamu ya kula.
👉Vifo vingi hasa Vifaranga
👉Kupungua Uzito.
👉Kushusha Utagaji.

NAMNA YA KUZUIA COCCIDIOSIS

✍️Epuka unyevunyevu kwenye banda la kuku na hatari zaidi kwa vifaranga

✍️Tumia Dawa za kukinga Ugonjwa (Coccidiostats)

✍️ Badilisha maranda kabla ya kuingiza vifaranga au kuku wapya.

VITU MUHIMU
Ni muhimu na lazima kila utumiapo dawa au chanjo kutumia vitamini kwa siku tatu hadi nne kulingana na ukubwa wa dawa husika...

NOTE: Jitaidi kufanya usafi wa mara kwa mara kwenye maeneo ya kuku na ndani ya banda na nje ya banda na kuzingatia usalama wa kimazingira kwenye maeneo ya kuku "Biosecurity"

Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi kupitia namba zifuatazo...

BILA KUSAAU TUNA HUDUMA ZA VYAKULA VYA KUKU WA BROILER NA LAYERS...

MAWASILIANO

Phone; +255 714 151842
WhatsApp; +255 767922993

01/01/2025

OFA YA JANUARY 2025

Weka oda yako ya Layers au Broiler kwa bei nafuu kabisa...

LAYERS CHICKS: 2,300/=
BROILER CHICKS: 2100/=

Wahi kuweka oda yako mapema.

Wasiliana nasi sasa :
kupitia simu no

+255 714 151 842
+255 682 218 768

COCCIDIOSIS NININI?Ni ugonjwa wa kuhara damu unaosababishwa na vijidudu wajulikanao kwa jina la  "Protozoa" wadudu hawa ...
09/11/2024

COCCIDIOSIS NININI?

Ni ugonjwa wa kuhara damu unaosababishwa na vijidudu wajulikanao kwa jina la "Protozoa" wadudu hawa hushambulia sehemu mbalimbali za utumbo wa kuku.

MAZINGIRA YANAYOSABABISHA COCCIDIOSIS

🐓Unyevunyevu kwenye matandazo/ maranda (Litter Material)

🐓Kutobadili matandazo/ maranda yaliyotumika kwa muda mrefu usababisha magonjwa....

🐓Kuhamishia vifaranga sehemu tofauti na waliyokuwa wanakaa na kuwapeleka walipokuwa wanakaa kuku wakubwa bila ya kufanya usafi na kupiga dawa za kuua vijidudu "Formalin"...

DALILI ZAKE
👉Kuharisha; Kinyesi huanza kuwa laini, pili hubadilika rangi kuwa kijivu, baadae mchanganyiko wa damu na kuonekana k**a kahawia, udongo au brauni..

👉Manyoya yasiyo na mpangilio na yaliyosinyaa, kuku hapendezi na hukunja mabawa k**a amevaa koti.

👉Kuku kupauka (Paleness)
hususani kwenye vilemba (Comb, wattle) na miguu kutokana na kukosa damu.

👉Kukua polepole (Poor Growth)
👉Kukosa hamu ya kula.
👉Vifo vingi hasa Vifaranga
👉Kupungua Uzito.
👉Kushusha Utagaji.

NAMNA YA KUZUIA COCCIDIOSIS

✍️Epuka unyevunyevu kwenye banda la kuku na hatari zaidi kwa vifaranga

✍️Tumia Dawa za kukinga Ugonjwa (Coccidiostats)

✍️ Badilisha maranda kabla ya kuingiza vifaranga au kuku wapya.

VITU MUHIMU
Ni muhimu na lazima kila utumiapo dawa au chanjo kutumia vitamini kwa siku tatu hadi nne kulingana na ukubwa wa dawa husika...

Jitaidi kufanya usafi wa mara kwa mara kwenye maeneo ya kuku na ndani ya banda na nje ya banda na kuzingatia usalama wa kimazingira kwenye maeneo ya kuku "Biosecurity"

Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi kupitia namba zifuatazo...

BILA KUSAAU TUNA HUDUMA ZA VYAKULA VYA KUKU WA BROILER NA LAYERS..

VIFARANGA VYA KUKU WA BROILER NA LAYERS....

Phone: +255 714 151842

Ofa ofa ofa kwa mwezi Octorber ya cage  za 96 na 128 kwa kuanzia idadi ya cage 5 na kuendelea...Ni habari njema mjasiria...
08/11/2024

Ofa ofa ofa kwa mwezi Octorber ya cage za
96 na 128 kwa kuanzia idadi ya cage 5 na kuendelea...

Ni habari njema mjasiriamali wa ufugaji kuku... kwanini ufuge kienyeji, kwanini ufuge na tiba iwe sehemu ya huduma kwa kuku kuugua mara kwa mara...

Epuka magonjwa
Epuka kuku kudonoana na kuuwana
Epuka ulaji wa mayai
Epuka matumizi makubwa ya eneo

Layers cage 96 bei 600,000
Layers cage 128 bei 750,000

Ufundi ni bure kabisa...

Tupigie tukuhudumie
0714 151842
0682 218 768

17/10/2024

ORDER ORDER ORDER

Jipatie vifaranga bora wa mayai aina ya BOVAN BROWN na vifaranga wa Nyama aina ya Ross 308 kwa mwezi huu wa October 2024..

Tar: 19/10/2024

Tar: 26/10/2024

Tar: 30/10/2024

Bei @2800

BROILER CHICKS aina ya Ross 308

Tar: 23/10/2024

Tar: 30/10/2024

BEI @2250/=

BEI YA VYAKULA VYA KUKU

Broiler Starter crumble 80,000/=
Broiler Starter Pellet 79,000/=
Broiler Grower Pellet 76,000/=
Broiler Finisher Pellet 75,000/=

Kwa upande wa pwani na Dar es salaam tunakufikishia mpaka ulipo...

Usimamizi utapata mpaka kuku kuanza utagaji au uuzwaji kwa kuku wa Nyama...

Wasiliana nasi kupitia

+255 714 151842
+255 682 218 768

08/10/2024

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255682218768

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mr Business Poultry Farm posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category