ACO DAGAA

ACO DAGAA Tunasaidia watu kupata Dagaa wa viwango vizuri kutokana na mahitaji yake. kwa mawasiliano zaidi
call/WhatsApp 0712 991 105

Pia tunashauri uchukue Kiasi gani na aina Gani ya Dagaa kwa ajili ya Matumizi yako kama matumizi ya Familia na hata Binafsi.

Dagaaa(NyamaNono) toka ziwa victoria ambao Tayari wameshakaangwa, wamewekwa Viungo na kila kitu.Wana Radha na Harufu nzu...
19/04/2024

Dagaaa(NyamaNono) toka ziwa victoria ambao Tayari wameshakaangwa, wamewekwa Viungo na kila kitu.Wana Radha na Harufu nzuri.

Ukila Dagaa hawa unapata Faida hizi
1 Unapata Vitamini B12
2 Unaenda kuimarisha Mifupa yako na kuondoa matatizo ya Magoti
3 Unaenda Kuongeza uwezo wako wa kumbukumbu.

Bei za Dagaa Hawa kwa RejaReja ni:
3,000/-
5,000/-
Sado 27,000/-

Mawasiliano Tupigie sasa hivi
☎️0712 991 105

NAPATIKANA
📍BUZA CHAMA

Wewe Unapenda Kula Dagaa na Nini!!?? Embu tueleze Dagaa wako unakulaga na nini.🔥
19/03/2024

Wewe Unapenda Kula Dagaa na Nini!!??

Embu tueleze Dagaa wako unakulaga na nini.

🔥

Unajua Kunabaina ngap Za Dagaa!!??
06/03/2024

Unajua Kunabaina ngap Za Dagaa!!??

Kula vitu vya asili sio ushambaKula vitu vya asili sio ushambaKula vitu vya asili sio ushambaKula vitu vya asili sio ush...
04/03/2024

Kula vitu vya asili sio ushamba

Kula vitu vya asili sio ushamba

Kula vitu vya asili sio ushamba

Kula vitu vya asili sio ushamba

Kula vitu vya asili sio ushamba.

Kula Dagaa na

Ngoja nikuambie kitu ambacho ukijui kuhusu Chakula hiki,Hapa una Ugali, pale Mrenda Alafu una Dagaa wako umewapikaMwenye...
01/03/2024

Ngoja nikuambie kitu ambacho ukijui kuhusu Chakula hiki,

Hapa una Ugali, pale Mrenda Alafu una Dagaa wako umewapika
Mwenyewe kwa mikono yako, ukaweka viungo uoendavyo.

Radha yake ambayo utaipata hapo, Hadi X wako utamuona si lolote wala chochote.

Nikulize swali Wewe unapenda Ule Ugali Dagaa na mboga gani nyingine.

Mimi Napenda Ugali Dagaa na chinese iwe pemben 🔥
Wewe je

Comments 👇🏿 Alafu k**a una picha ya Dagaa lako weka nami nitashare kwa Watu.

29/01/2024

Unahisi kwanini watu wengi wanapenda kuletewa Bidhaa na vitu majumbani kwao.

Dunia ya sasa watu wapo Busy sana mpaka wanakosa mda wa kwenda sokoni au kufanya mahitaji yao ya

Chakula. Pili na wengi msimu wa Baridi kali au joto kali huwa si rahisi sana kuzunguka na kufanya hayo manunuzi,

Kwa namna hiyo Ndio mana sasa hivi unaletewa chochote unachotaka hadi mlangoni mwa nyumba

Yako. Sasa tunasaidia watu wapate Dagaa wazuri wenye quality kubwa, Bila wao

Kwenda sokoni. Kuwaepusha na Adha ya jua na Baridi.

Piga simu
0712 991 105

Tunapatikana
Dar - Buza, Chama

24/01/2024

Delivery Time Hapa tukiwa Ferry Kwenye Ofisi za Zanzibar One, Tukituma kwenda Zanzibar.

Unatumiwa popote, Piga Simu 0712991105.

Tunapatikana Buza - Chama

31/12/2023

Asanteni sana Wateja wetu, Tunawatakia Kheri ya mwaka mpya.

Mungu awalinde Tuanze vyema mwaka 2024.

  Tunawatakia Watu wote Heri ya X-Mas na Mwaka Mpya.
24/12/2023

Tunawatakia Watu wote Heri ya X-Mas na Mwaka Mpya.

21/12/2023

Faida mojawapo ya Kula Dagaa ni kwamba ni chanzo kikubwa cha Omega 3, Ambayo husaidia

Na Kuimarisha ubongo, Kula Dagaa upate kuujenga mwili katika swala la Afya ya akili na uondoe tatizo.

Dagaa ambao wanakufaa zaidi ni Dagaa ambao Hawana Mchanga na wala wasiwe na uchafu,

Kwanini!!?? Kwa sababu Hizi ni Rahisi kuwaandaa yani utatumia mda mchache kuwandaa so hawatakupotezea muda wako

Pili Wana Radha nzuri sana Mana hawajakaa mda mrefu ni wapya kabisa.

Kwa Mawasiliano ili uweze kupata Dagaa wako

☎️ 0712 991 105
📍 Buza-Chama

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255712991105

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ACO DAGAA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Restaurant

Send a message to ACO DAGAA:

Share