Interchick Shambani

Interchick Shambani � Tunawekeza ubora kwenye kila yai tunalototolesha, kila kuku tunaefuga na kila chakula tunachotengeneza.

Ukaguzi wa banda ni hatua muhimu inayosaidia kubaini mapema changamoto zinazoweza kuathiri afya na ukuaji wa kuku wako. ...
01/06/2026

Ukaguzi wa banda ni hatua muhimu inayosaidia kubaini mapema changamoto zinazoweza kuathiri afya na ukuaji wa kuku wako.

Banda safi na lenye mazingira bora huchangia uzalishaji mzuri na mafanikio ya ufugaji wako kwa ujumla.

Anza mwezi kwa kuweka oda ya vifaranga mapema kupitia namba, 0699 999 600 au 0762 728 057.



Kuchagua vifaranga bora na kuwapatia malezi sahihi tangu siku ya kwanza husaidia kuongeza afya ya kuku na kupunguza chan...
29/05/2026

Kuchagua vifaranga bora na kuwapatia malezi sahihi tangu siku ya kwanza husaidia kuongeza afya ya kuku na kupunguza changamoto zinazoweza kuathiri ukuaji wako.

Anza safari yako ya ufugaji kwa kufanya uchaguzi sahihi wa vifaranga wenye afya bora.

Weka oda yako ya vifaranga leo kupitia, 0699 999 600



Katika siku hii ya Eid Al-Adha, tunawatakia wateja wetu, wafugaji na familia zenu furaha, amani na baraka tele. Asanteni...
27/05/2026

Katika siku hii ya Eid Al-Adha, tunawatakia wateja wetu, wafugaji na familia zenu furaha, amani na baraka tele.

Asanteni kwa kuendelea kuwa sehemu ya familia ya Interchick.



Lishe bora yenye virutubisho ndiyo msingi wa kuku wenye afya, ukuaji mzuri na uzalishaji mkubwa wa mayai yenye kiini cha...
25/05/2026

Lishe bora yenye virutubisho ndiyo msingi wa kuku wenye afya, ukuaji mzuri na uzalishaji mkubwa wa mayai yenye kiini cha njano.

Anza leo kuwapa kuku wako lishe bora kwa matokeo yenye faida zaidi kwa ufugaji wako.

Tembelea ofisi zetu au wasiliana nasi kupitia 0699 999 060 kupata chakula bora cha kuku wa mayai.



Jumamosi hii si ya kukosa andaa kalamu na daftari tu, tukutane katika ukumbi wa Destiny Hall kwa Mathias kuanzia saa 03:...
21/05/2026

Jumamosi hii si ya kukosa andaa kalamu na daftari tu, tukutane katika ukumbi wa Destiny Hall kwa Mathias kuanzia saa 03:00 asubuhi.

Onyesha upendo kwa kumtag mfugaji mwenzio asikose semina hii maalum.



Tanbro au kuku Chotara ambaye unaweza kumfuga k**a kuku wa nyama au wa mayai, kulingana na mahitaji yako.Tundikie maoni ...
20/05/2026

Tanbro au kuku Chotara ambaye unaweza kumfuga k**a kuku wa nyama au wa mayai, kulingana na mahitaji yako.

Tundikie maoni yako, wewe unafuga Tanbro kwa ajili ya nyama au mayai?



Are you ready to grow your career with a leading agribusiness brand?We’re looking for a driven and detail-oriented Assis...
19/05/2026

Are you ready to grow your career with a leading agribusiness brand?

We’re looking for a driven and detail-oriented Assistant Accountant to join our team.

This is a great opportunity to gain hands-on experience, grow professionally, and build a strong foundation for your accounting career.

Application Deadline: 21st May 2026 before 2:00pm

Submit your CV and cover letter to the provided email address before the deadline.



Kwa wakazi wa Mlandizi na Kiluvyia, Jumamosi hii tutakuwepo katika ukumbi wa Destiny Hall kwa Mathias kwa ajili ya kutoa...
18/05/2026

Kwa wakazi wa Mlandizi na Kiluvyia, Jumamosi hii tutakuwepo katika ukumbi wa Destiny Hall kwa Mathias kwa ajili ya kutoa semina maalum ya kuongeza maarifa ya ufugaji wa kuku kwa faida.

Karibu upate nafasi ya kujifunza kutoka kwa wataalamu wetu kuhusu mbinu bora za ufugaji zitakazokusaida kuboresha uzalishaji na faida kwenye ufugaji wako.

Ukiona tanganzo hili mjulishe na mfugaji mwenzako.



Kwa mara ya kwanza kabisa, Interchick tunakuja BABATI 🔥Jumamosi ya mwisho wa mwezi huu tunakukaribisha kwenye semina maa...
13/05/2026

Kwa mara ya kwanza kabisa, Interchick tunakuja BABATI 🔥

Jumamosi ya mwisho wa mwezi huu tunakukaribisha kwenye semina maalum ya kuboresha ufugaji wa kuku itakayofanyika Ukumbi wa Aviti.

Utapata nafasi ya kujifunza kutoka kwa wataalamu wetu kuhusu ufugaji wenye faida, usimamizi bora wa vifaranga, lishe, chanjo na mbinu za kuongeza uzalishaji.

Kiingilio ni BURE kabisa.

Usikose nafasi hii muhimu kwa mfugaji anayehitaji kukuza ufugaji wake kwa mafanikio zaidi.

Ukiona tangazo hili, mtag na mfugaji mwenzako tuje tujifunze pamoja.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie:
0753 934 541



Umekuwa ukijiuliza ni wapi utapata vifaranga wenye ubora kwa ufugaji wa faida.Interchick ndio suluhisho, tunahakikisha m...
13/05/2026

Umekuwa ukijiuliza ni wapi utapata vifaranga wenye ubora kwa ufugaji wa faida.

Interchick ndio suluhisho, tunahakikisha mfugaji anapata vifaranga bora wenye chanjo na wanaokuwa kwa kasi na kuongeza faida kwenye biashara yako.

Weka oda yako leo, kwa kuwasaliana nasi kupitia 0699 999 600.



Address

New Bagamoyo Road, Jogoo/Mbezi Industrial Area, P. O. Box 5774
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 13:00

Telephone

+255762728057

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Interchick Shambani posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Restaurant

Send a message to Interchick Shambani:

Share

Category