Mpishii

Mpishii πΆπ‘Žπ‘™π‘™ π‘ˆπ‘  πŸŽπŸ”πŸ“πŸ•-πŸ‘πŸ‘ πŸπŸ–πŸπŸ’
Tα΄œΙ΄α΄€α΄˜Ιͺα΄‹α΄€ Kᴑᴇɴʏᴇ SΜ³HΜ³UΜ³GΜ³HΜ³UΜ³LΜ³IΜ³ YΜ³OΜ³YΜ³OΜ³TΜ³EΜ³
VYAKULA VYOTE.

25/05/2026
Zijue leo Namna Tofauti za Ukataji wa Kitunguu Maji.
22/05/2026

Zijue leo Namna Tofauti za Ukataji wa Kitunguu Maji.

21/05/2026

πŸ˜‚πŸ˜‚

Pilau Nyama. πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
15/05/2026

Pilau Nyama. πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

14/05/2026

Pilipili Ya Biryani (Unaweza Kuita SAMBARO).

Hii Ni Aina Ya Pili Ambayo Waweza Kula Na Chakula Chochote, Ila Mara Nyingi hutumiwa na Wapenzi wa kula BIRYANI.

Pilipili hii Ina Mchanganyiko wa vitu Vifuatavyo:
βœ… Karoti
βœ… Embe Mbichi
βœ… Papai Bichi
βœ… Pilipili Ndefu/ Pilipili Mbuzi
βœ… Bay Leaves
βœ… RAI
βœ… Curry Powder
βœ… Chumvi & Mafuta
βœ… Table Vinega

Hivi ndo viungo vyake vikuu

Ukitaka kujua jinsi ya kupika
Tembelea Page yetu sasa au Tupigie 0657 33 2814

Elimu kwetu ni Bure hatuchaji Pesa.

08/05/2026

Jikoni Leo. Tunapika PILAU MBUZI.
Hivi Unajua Siri ya kupika pilau mbuzii..!?

Kwa kawaida Mbuzi ana shombo ambayo wengi huwa hawapendezwi nayo.
Lakini kwa mpishi mwenye kupenda kupika chakula kizuri, huweka viungo Vifuatavyo ili kupunguza harufu ya shombo ya mbuzi.

πŸ”Έ Tangawizi
πŸ”Έ Kitunguu Saumu
πŸ”Έ Kotmill & Nanaa

Hakikisha viungo hivi havizidi, Kwasababu wakati wa mapishi yako Inapendeza mtu akajua leo anakula nyama ya Mbuzi.
Tumetumia viungo hivyo vichache naamini vipo vingine vingi, ila kutumia viungo vingi kunapelekea kuondoa Uhalisia na ladha halisi na nyama ya mbuzi.

Viungo ambavyo nilitumia kwenye pilau:
➑️ Binzali Nyembamba (nzima)
➑️ Iriki & Amdalasini Nzima
➑️ Pilipili Mtama Nzima
➑️ Vitunguu Maji
➑️ Hilal Moto
➑️ Chumvi
➑️ Mafuta
➑️ Vitunguu Saumu

Badae Niliweka Viazi Mviringo, Njegere & Zabibu Kavu

KUMBUKA:
Mbuzi ni Laini na Mwepesi sana kuiva hivyo mwanzoni wakati unaandaa supu ya kutumia kwenye pilau, Epuka kutumia muda mwingi kumueka jikoni ili kubalance level ya kuiva nyama ambayo utatumia kwenye pilau.

Tupigie /WhatsApp 0657 33 2814
Ikiwa Una Oda au Swali lolote kuhusiana na Mapishi.

Mapema Sana Mzigo Tayari. πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯Tumekabidhi. πŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ™
08/05/2026

Mapema Sana Mzigo Tayari. πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Tumekabidhi. πŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ™

Biryani Day
01/05/2026

Biryani Day

27/04/2026

Vita Akili. Linapokuja swala La ChakulaπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ€£

Address

Magomeni
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mpishii posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Restaurant

Send a message to Mpishii:

Share