Sam Food

Sam Food Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Sam Food, Food Delivery Service, Mwanza.

TUNAUZA DAGAA NA SAMAKI WA MWANZA KWA BEI NAFUU.
KARIBU SAM FOOD UJIPATIE DAGAA NA SAMAKI WENYE UBORA
TUPO MWANZA
TUPIGIEE 0786226392
JIUNGE KWENYE CHANNEL YETU
https://whatsapp.com/channel/0029Vb7XfbDJ93wUbTxvlF0Q

Wenye hotel wenye sherehe wenye familia nauza bei nafuu Ndoo kubwa 250,000/= ndoo ndogo 150,000/=Usafiri ni bureeeeeeeee...
27/05/2026

Wenye hotel wenye sherehe wenye familia nauza bei nafuu
Ndoo kubwa 250,000/= ndoo ndogo 150,000/=
Usafiri ni bureeeeeeeee
Tupigiee 0786 226 392

Huyu samaki kwetu ni 6000 huko mliko ni bei gani??
26/05/2026

Huyu samaki kwetu ni 6000 huko mliko ni bei gani??

Nimeenda kula kwa mama Seifu nimeomba wali nyama rost nimeambiwa 3500 lkn nimeambiwa kuna wali nyama kavu ni 3000 nimech...
26/05/2026

Nimeenda kula kwa mama Seifu nimeomba wali nyama rost nimeambiwa 3500 lkn nimeambiwa kuna wali nyama kavu ni 3000 nimechukia sana.. sijui utofauti uko wapi...

25/05/2026

Wahaya mje huku 0786 226 392

Huko mliko mnaitaje hii??
24/05/2026

Huko mliko mnaitaje hii??

Viungo naweka ndioo maana mnapenda dagaa wangu..
24/05/2026

Viungo naweka ndioo maana mnapenda dagaa wangu..

Huyu jamaa ni rafiki yangu sana ila huwa ana haribu hela vibaya sana anaitwa   ni mkurya wa Tarime😂
24/05/2026

Huyu jamaa ni rafiki yangu sana ila huwa ana haribu hela vibaya sana anaitwa ni mkurya wa Tarime😂

Tuwe wa kweli kwa walio chukuaa mboga kwangu kwa mara yao ya kwanza walihisi nini wakati wa kula??Ndoo kubwa 100,000/= t...
23/05/2026

Tuwe wa kweli kwa walio chukuaa mboga kwangu kwa mara yao ya kwanza walihisi nini wakati wa kula??
Ndoo kubwa 100,000/= tupigiee 0786 226 392

Tukamfollow Anitha wa Sam

Nimekula na kusaza kwa Mama Seifu umemeza mate ukiwa wapi😂
23/05/2026

Nimekula na kusaza kwa Mama Seifu umemeza mate ukiwa wapi😂

Ikitokeaa nimeoa nitampa masharti magumu mke wangu Anitha wa Sam  kwa kifupi sitaki mtu mvivu kwenye maisha yangu. Na hi...
20/05/2026

Ikitokeaa nimeoa nitampa masharti magumu mke wangu Anitha wa Sam kwa kifupi sitaki mtu mvivu kwenye maisha yangu. Na hii ndioo furaha ya wanaume wengi..

Nitamrithisha biashara ya dagaa wa kukaangwa wa Mwanza nitamfundisha hatua kwa hatua

K**a kuna mtu anataka aanze biashara hata leo anipigiee kwa namba zangu 0786 226 392

Address

Mwanza

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sam Food posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share