Kienyeji & Chotara Farm

Kienyeji & Chotara Farm Tunauza vifaranga wa siku 1-30, Tunauza na Kutotolesha mayai, Tunauza kuku wakubwa, Tunakuza vifaranga wako hadi kufikia miezi 1-6. Gharama zetu ni nafuu MNO!

Tunatoa ushauri bure pamoja na kuwatembelea katika mabanda yao kwa ushauri zaidi.

Je! Unahitaji vifaranga wa kienyeji au chotara wenye ubora wa asili kwa bei nafuu sana? Au Mayai yenye viwango? Au una u...
23/08/2021

Je! Unahitaji vifaranga wa kienyeji au chotara wenye ubora wa asili kwa bei nafuu sana? Au Mayai yenye viwango? Au una uhitaji wa kutotolesha mayai yako? Tafadhari wasiliana nasi ili kukupatia huduma hizo

Address

Visiga Kibaha
Kibaha

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kienyeji & Chotara Farm posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category