Dalali mwelevu

Dalali mwelevu Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dalali mwelevu, p. o box Dar es salaam, Dar es Salaam.

Pata nyumba yenye hati miliki iliyopo mbweni mpiji,,yakisasa,,uwanja sqm 650,,,imeshapauliwa,,,IPO ndani yafence,,being ...
14/01/2019

Pata nyumba yenye hati miliki iliyopo mbweni mpiji,,yakisasa,,uwanja sqm 650,,,imeshapauliwa,,,IPO ndani yafence,,being milioni 100 maongezi yapo,,
0657649176.

14/01/2019

NYUMBA INAUZWA.
IPO bunju A fanaka,,inahati miliki,,ukubwa waeneo sqm 1500,,,nyumba nikubwa yakisasa,,inavyumba 4,,masters 2,,bedrooms 2,,nachumba chakusomea,,sitting room kubwa,,dining kubwa,,choo,, jiko,, bafu,, nastore,,nyumba IPO mtaa watatu kutokea bunju A shule,,,nyumba IPO ndani yafence,,being yake milioni 160 maongezi yapo,,ruksa muda nawakati wowote kuja kuona nyumba hii,,,ninyumba mzuri nasafi,,,
MAWASILIANO,,,
0657649176.
WATEJA KWETU NIWAFALME.
NYOTE MNAKARIBISHWA.

14/01/2019

VIWANJA VINAUZWA.
Viwanja vipo Madale kisauke upande washule yasekondari kwajuu,,,viwanja vipo Vingi niwewe tu kuchagua ukae sehemu gani,,viwanja nivikubwa sana,,vina ukubwa was mita 35x35,,yaani nirobo heka,,,eneo lipo tambarare sana,,umbali kutokea barabara kuu yarami nimwendo wadakika 5 kwamguu,,,mazingira si mabaya nirafiki kwamakazi yawatu,,wapo ambao wanaishi maeneo haya,,huduma zipo karibu,,umeme namaji,,being yaviwanja kwaukubwa wa mita 35x35 milioni 30 maongezi yapo kidogo,,,ndugu mteja,,wahi sasa kwani bado haujachelewa,,,pia kuja kuona nakujiridhisha niwajibu wako mteja wetu,,kuwa huru muda nawakati wowote kuja kuona virwanja hivi,,viwanja hivi vipo katika usalama wahali yajuu,, umiliki halali wahati zaserikali yamtaa,,pia kunamradi waurasimishaji maeneo.
MAWASILIANO,,,,
0657649176
WhatsApp,,,,
0653956218.
WATEJA KWETU NIWAFALME.
NYOTE MNAKARIBISHWA.

VIWANJA VINAUZWA.Vipo madale mwisho kisauke,,vipo viwili,, ukubwa sqm 1806 na sqm 913,,bei milioni 36 namilioni 18 maoge...
28/12/2018

VIWANJA VINAUZWA.
Vipo madale mwisho kisauke,,vipo viwili,, ukubwa sqm 1806 na sqm 913,,bei milioni 36 namilioni 18 maogezi yapo kidogo,,,umbali kutokea rami yaani kutokea kituo chadaladala tegeta nyuki madale mita 200,,,viwanjavipo tambarare,,,,barabara yakuingilia kwenye viwanja mita 15 namita 10,,,pia viwanja vimepakana na viwanja vya NSSF,,angalia ramani ili uone jinsi mtaa ulivyokaa katika mpangilio mzuri,,,huduma yaumeme ipo namaji
Yanakaribia kwamradi wamji mpya ambayo muda simwingi yataanza kufanya kazi,,,viwanja vimepimwa ila hati niwewe namwenye mali katika kupatikana,,,,vimebaki 2 tu.
Mawasiliano⤵⤵⤵⤵⤵
0657649176.
WhatsApp ⤵⤵⤵⤵
0653956218.
Mteja kwangu nimfalme.
Nyote mnakaribishwa.

NYUMBA INAUZWA(HOUSE FOR SALE).ipo tegeta wazo kisanga,,,full A/C,,,ipo ndani yafence,,,kiwanja kimepimwa,,,,ukubwa sqm ...
25/12/2018

NYUMBA INAUZWA(HOUSE FOR SALE).
ipo tegeta wazo kisanga,,,full A/C,,,ipo ndani yafence,,,kiwanja kimepimwa,,,,ukubwa sqm 1100,,,nyumba inavyumba 3,,,master 2,,,bedroom 1,,,choo,,,bafu,,,jiko,,sitting room,,dining na store,,,maji naumeme vipo,,,,mtaa mzuri umejengeka,,,,bei milioni 350,,maongezi yapo,,,milango yamninga,,,madirisha ysvioo yote,,,,mawasiliano⤵⤵⤵⤵
0657649176 📞📞
WhatsApp⤵⤵⤵⤵⤵
0653956218 📞📞 🇹🇿

HOUSE FOR SALE(nyumba inauzwa).Nighorofa,ipo kigamboni geza ulole,,inavyumba vitano (5),,kila chumba kinachoo nabafu,,si...
23/12/2018

HOUSE FOR SALE(nyumba inauzwa).
Nighorofa,ipo kigamboni geza ulole,,inavyumba vitano (5),,kila chumba kinachoo nabafu,,sitting room,,dining room,,kitchen,,(jiko),,baf(pakuogea),,na store(hifadhi yavitu),,
Umbali kutokea rami nimita 200 tu,,,ukubwa wakiwanja sqm 1200=na mita zamraba 30x40,,bei milioni 350 maongezi yapo,,,eneo linepimwa na hati muda wowote itatoka,,,mazingira mazuri,,,maji naumeme vipo,,ghorofa imeisha,,niwewe tu kufanya manunuzi nakuhamia tu,,,mawasiliano⤵⤵⤵
📞📞 0657649176.
WhatsApp⤵⤵⤵⤵⤵
📞📞 0653956218.
NYOTE MNAKARIBISHWA.

HOUSE  FOR SALE (nyumba inauzwa).Nyumba nzuri yakisasa ipo bagamoyo mingoi,,inavyumba 3,master,bedroom,sitting room,dini...
21/12/2018

HOUSE FOR SALE (nyumba inauzwa).
Nyumba nzuri yakisasa ipo bagamoyo mingoi,,inavyumba 3,master,bedroom,sitting room,dining,jiko,choo,bafu nastore.
Umeme,,alluminium windows (madirisha yavioo),,milango kila kila sehemu inapohitajika kuwepo,,tiles (malumalu) barazani nandani
mote,,pia ipo ndani yafence,,eneo kubwa pia
Bei yanyumba hii milioni 130 maongezi yapo.
Kuna gypsum nyumba yote na pvc kwanje,,,
parking yakutosha,,maji yapo ndani,,kuja kuona nyumba hii Tsh elfu 20,,,📞📞 0657649176.
WhatsApp 📞📞 0653956218.
NYOTE MNAKARIBISHWA.

NYUMBA INAUZWA.MAHALA--bunju B sheli,nyumba yakisasa,,inavyumba 3,master 1,choo,bafu,jiko,sittingroom dining room,nastor...
21/12/2018

NYUMBA INAUZWA.
MAHALA--bunju B sheli,nyumba yakisasa,,inavyumba 3,master 1,choo,bafu,jiko,sittingroom dining room,nastore,inafull A/C,alluminium,tiles nagypsum,umeme upo namaji yapo karibu,ipo ndani yafence,bado mpya,bei milioni 120 maongezi yapo kidogo,umbali kutokea rami mita 100,karibu mteja nyumba mzuri sana.
Mawasiliano⤵⤵⤵⤵
📞📞 0657649176.
WhatsApp⤵⤵⤵⤵
📞📞 0653956218.
MTEJA KWANGU NIMFALME.
NYOTE MNAKARIBISHWA.

NYUMBA INAUZWA.MAHALA--mbagala kisemvule mtaa wakitagwile.Ukipanda gari lambagala kisemvule unashukia kituo kinachoitwa ...
18/12/2018

NYUMBA INAUZWA.
MAHALA--mbagala kisemvule mtaa wakitagwile.
Ukipanda gari lambagala kisemvule unashukia kituo kinachoitwa nyumba nyeupe,umbali kutokea kituoni kilomita 1,viwanja vipo 2,kuna namba 23 B1 na 24 B 2,nyumba ipo kwenye kiwanja namba 23 B 1,ukubwa wakila kiwanja ni sqm 900,kiwanja namba 23 B1,pamoja nayumba milioni 23,namba 24 B2 milioni 6.
Viwanja vyote vinaonekana kwenye ramani.
Ukubwa wanyumba vyumba 3,master 1,jiko,choo,bafu dining,sitting room na store.
Eneo limepimwa ila hati bado,viwanja vinahati halali zaserikali yamtaa,mteja akitaka kimoja tunamuuzia pia akitaka vyote tunamuuzia,kama
Kwavyote milioni 29,ukubwa sqm 1800.
MAWASILIANO⤵⤵⤵⤵⤵⤵
📞📞 0657649176.
WhatsApp⤵⤵⤵⤵
0653956218.
MTEJA KWANGU NIMFALME
NYOTE MNAKARIBISHWA.

KIWANJA KINAUZWAMAHALA--salasala kilima hewa.Ukubwa mita 18x21.BEI--milioni 11 maongezi yapo.UMILKI--kina hati halali za...
18/12/2018

KIWANJA KINAUZWA
MAHALA--salasala kilima hewa.
Ukubwa mita 18x21.
BEI--milioni 11 maongezi yapo.
UMILKI--kina hati halali zaserikali yamtaa.
Kipo kwenye hatua yaupimaji katika
Mradi wakilima hewa,kimelipiwa katika
Upimaji kinasubiri zamu ifike ili kipimwe.
UMBALI--nimwendo wadakika 7 tu kutokea
Rami,kipo juu kinatazama bahari
Yahindi,upepo wakutosha,wahi sasa.
MAWASILIANO⤵⤵⤵⤵⤵
📞📞 0657649176.
WhatsApp ⤵⤵⤵⤵⤵
📞📞 0653956218.
MTEJA KWANGU NIMFALME.
NYOTE MNAKARIBISHWA.

PLOT FOR SALE--VIWANJA VINAUZWAMAHALA--madale mwisho.IDADI--vipo  vitatu (3).UKUBWA--                (1) sqm 1800.      ...
15/12/2018

PLOT FOR SALE--
VIWANJA VINAUZWA
MAHALA--madale mwisho.
IDADI--vipo vitatu (3).
UKUBWA--
(1) sqm 1800.
(2) sqm 1500.
(3) sqm 1524.
BEI -- milioni 45 maongezi yapo.
UMILIKI--vinahati miliki vyote.
UMBALI--mita 200 usawa warami.
MAZINGIRA--pamejengeka nawatu wapo wanaishi,umeme upo namradi wamaji tayari upo.pia viwanja vipo karibu kabisa nakituo chadaladala madale tegeta nyuki.
Iwe mvua jua panafikika kiurahisi sana.
MAWASILIANO⤵⤵⤵⤵⤵
📞📞 0657649176.
WhatsApp namba⤵⤵⤵⤵
0653956218.
MTEJA KWANGU NIMFALME.
NYOTE MNAKARIBISHWA.

HOUSE FOR RENT (nyumba inauzwa)MAHALA--boko msikitini.IDADI--zipi 3,zote self zavyumba 2,master,choo,bafu,jiko,store,ssi...
13/12/2018

HOUSE FOR RENT (nyumba inauzwa)
MAHALA--boko msikitini.
IDADI--zipi 3,zote self zavyumba 2,master,choo,bafu,jiko,store,ssitting room na dining.
Kila moja inajitegemea kwakila kitu,luku namaji.
UMBALI--kutokea rami mwendo wadakika 5.
KODI--laki tatu nanusu (350,000).
MALIPO--kodi imipwe miezi sita (6).
Nyumba nzuri namtaa mzuri.
MAWASILIANO⤵⤵⤵⤵
📞📞 +255 657 649 176.
WhatsApp
📞📞 +255 653 956 218.
NYOTE MNAKARIBISHWA.

Address

P. O Box Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
1234

Telephone

+255 653 956 218

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dalali mwelevu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share